Katika bajeti ya mwaka 2016/17, Serikali imetenga shilingi
bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu 1,157
wa shule za msingi nchini.
bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu 1,157
wa shule za msingi nchini.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameyasema hayo
leo, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge
Viti Maalum, Mhe. Juliana Daniel Shonza juu ya mpango
wa kuboresha miundombinu ya elimu vijijini kama vile
nyumba za walimu pamoja na kulipa malimbikizo ya
madeni ya walimu.
za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameyasema hayo
leo, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge
Viti Maalum, Mhe. Juliana Daniel Shonza juu ya mpango
wa kuboresha miundombinu ya elimu vijijini kama vile
nyumba za walimu pamoja na kulipa malimbikizo ya
madeni ya walimu.
“ Katika bajeti ya mwaka 2016/17, Serikali imetenga shilingi
Bil. 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu 1,157
kwa shule za msingi na shilingi bilioni 11.14 zimetengwa
kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 661 kwa shule za sekondari
,” alifafanua Jafo.
Bil. 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu 1,157
kwa shule za msingi na shilingi bilioni 11.14 zimetengwa
kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 661 kwa shule za sekondari
,” alifafanua Jafo.
Aliendelea kwa kusema kuwa, Serikali kupitia Mpango wa
Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMESII) imekamilisha
ujenzi wa nyumba 146 kati ya nyumba 183 ambazo kila
nyumba wataishi walimu Sita (6 multi-unit houses).
Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMESII) imekamilisha
ujenzi wa nyumba 146 kati ya nyumba 183 ambazo kila
nyumba wataishi walimu Sita (6 multi-unit houses).
Aidha ameeleza kuwa ujenzi wa nyumba hizo umegharimu
shilingi bilioni 21.9 ambapo nyumba 37 zinaendelea
kujengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 5.5 na zinategemea
kukamilika tarehe 30 Aprili, 2017.
shilingi bilioni 21.9 ambapo nyumba 37 zinaendelea
kujengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 5.5 na zinategemea
kukamilika tarehe 30 Aprili, 2017.
Kuhusu ulipaji wa madeni ya walimu, Jafo amesema kuwa
Serikali imeendelea kulipa madeni kadri yanavyojitokeza
na kuhakikiwa ambapo katika mwezi Oktoba, 2015 Serikali
ililipa madeni ya shilingi bilioni 20.12 kwa walimu 44,700
na shilingi bilioni 1.107 zililipwa mwezi February, 2016 kwa
walimu 3221.
Serikali imeendelea kulipa madeni kadri yanavyojitokeza
na kuhakikiwa ambapo katika mwezi Oktoba, 2015 Serikali
ililipa madeni ya shilingi bilioni 20.12 kwa walimu 44,700
na shilingi bilioni 1.107 zililipwa mwezi February, 2016 kwa
walimu 3221.





Comments
Post a Comment