Timu ya KRC Genk ya nchin ubelgiji usiku wa jana walianza kampeni yao ya kushiriki michuano ya Uropa ndogo (UEFA Europa League) kwa ushindi wa 2 - 0 dhidi ya Buducnost. moja wapo ya magoli yaliyofungwa ni pamoja na goli na Mbwana Samatta, na hili ndilo goli alilofunga.
Comments
Post a Comment