Leo raia wa Uingereza wanapiga kura ya maoni asubuhi hii kuamua iwapo Uingereza isalie au ijiondoe katika Muungano wa Umoja wa Ulaya.Wapiga kura watajibu swali moja kwamba Uingereza ibakie kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au ijiondoe katika Umoja wa Ulaya.
Comments
Post a Comment